Mwimbaji wa Nyimbo za injili anae kuja kwa kasi Mtumishi Joseph John Anaomba Msaana kwa wale wote wenye uwezo wa kusimamia Muziki wake ili aweze kumuimbia Bwana naKumsifu Mungu Pia Ni Kijana mwenye Uwezo na Vipaji Ving Anauwezo Wa Upigaji wa Puano Na utengenezaji Beat za aina Mbalimbali Pia ni Mwalimu Mzuri sana kwaUfundishaji Wa kwaya nanyimbo Kadhaa kama Alfa na Omega. Bwana ndiye Mchungaji Niende wapi na nyingine nyingi

MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI 
MTUMISHI.JOSEPH JOHN
Akiwa Nje Ya Viwanja vya Kanisa la KKKT MKAMBA Baada ya kumsifu mungu 
Akimshukuru Mungu Baada ya kumaliza uimbaji
Akionyesha ufundi wake wa upigaji   kinanda
akiwa amepozi kanisani huko KKKT MKAMBA MOROGORO
BAADA YA KUINGIA DSM NDIPO ALIPO NIPA OMBI LAKE LA KUTAKA  KUIENDELEZA KAZI YA BWANA    




Kwa wale wote wenye utayari wa kumsaidia ili mtumishi wa Mungu aweze kuendelea kulitangaza neno la Mungu 
kwa mawasiliano

+255657409743
+255683257792
 abellykelvin4@gmail.com
Mwimbaji wa Nyimbo za injili anae kuja kwa kasi Mtumishi Joseph John Anaomba Msaana kwa wale wote wenye uwezo wa kusimamia Muziki wake ili aweze kumuimbia Bwana naKumsifu Mungu Pia Ni Kijana mwenye Uwezo na Vipaji Ving Anauwezo Wa Upigaji wa Puano Na utengenezaji Beat za aina Mbalimbali Pia ni Mwalimu Mzuri sana kwaUfundishaji Wa kwaya nanyimbo Kadhaa kama Alfa na Omega. Bwana ndiye Mchungaji Niende wapi na nyingine nyingi Mwimbaji wa Nyimbo za injili anae kuja kwa kasi Mtumishi Joseph John Anaomba Msaana kwa wale wote wenye uwezo wa kusimamia Muziki wake ili aweze kumuimbia Bwana naKumsifu Mungu Pia Ni Kijana mwenye Uwezo na Vipaji Ving Anauwezo Wa Upigaji wa Puano Na utengenezaji Beat za aina Mbalimbali Pia ni Mwalimu Mzuri sana kwaUfundishaji Wa kwaya nanyimbo Kadhaa kama Alfa na Omega. Bwana ndiye Mchungaji Niende wapi na nyingine nyingi Reviewed by Minister Mwakafwila on 21:14 Rating: 5

Hakuna maoni

Post AD